Thursday, March 28, 2013

ubishi noma


Waziri wa ufugaji alitembelea mradi wa nyuki! alipofika getini mlinzi akamwambia hatumruhusu mtu kuingia kwa sasa! waziri kwa hasira  akamjibu kwani hujui mimi nani? huku akimwonesha mlinzi kitambulisho! mlinzi kwa utii akamwambia haya  ingia mheshimiwa! baada  ya muda mfupi yule waziri akaanza kupiga kelele huku akisema mlinzi njoo nyuki hawa wananimalizaaa!! mlinzi akamjibu waoneshe kitambulisho!

No comments:

Post a Comment