Thursday, April 23, 2015

DAUDI MRINDOKO KASHAWISHIKA NA KAKUBALI OMBI LA WANANCHI WA JIMBO LA MOSHI MJINI KUGOMBEA UBUNGE 2015




Yafuatayo ndio maelezo yake haya:

"Kwa nianze kwa kumshukuru mwenyezi Mungu anawezesha yote na kutujalia uhai

Waheshimiwa Mabibi na mabwana,vijana na wazee,watoto na wakubwa ,Baba zangu na mama zangu na wanadau wote wanaoishi Moshi na wenyeji wa Moshi walio ndani na nje ya Moshi.

Mimi mtoto wenu,mdogo wenu na  Kijana wenu DAUDI BABU MRINDOKO

Nina heshima kubwa na unyeyekevu kwenu ,Pia nawashukuruni sana kwa kunishawishi niweze kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya ubunge wa jimbo
la Moshi Mjini katika uchaguzi mkuu 2015,nafasi ambayo Ubunge ! ambayo mimi
mwenyewe kwa tafsiri ya Ubunge yaani utumishi,mtetezi,msemaji,mwakilishi n.k
katika baraza la kutunga sheria na katiba yaani Bunge, na katika tafsiri hii ya majina ya kazi hii lazima mtumishi

awe mkweli,muwazi na aliyeweka mbele kwanza maslahi ya walio mchagua.

Waheshimiwa Mabibi na mabwana,vijana na wazee,watoto na wakubwa ,Baba zangu na mama zangu
Kunishawishi kwenu Kulinifanya niwe kimya kiasi na nikiwa najiuliza maswali mengi kichwani ! Lakini maswali makubwa yalikuwa 3 (a)Nashawishiwa na jamii
nichukue fomu kwa kuwa mimi ni kijana mwenywe uwezo wa kuifanya kazi hii?

(b)Nashawishiwa kwa kuwa kijana niliozaliwa na kuelimishwa na wanao nishawishi? yaani wanachi wa Moshi mjini na ndio wananitambua tabia na uwezo wangu wa kikazi.

Swali lingine nililojiuliza ni: Hivi mtoto au kijana mwenye adabu ,Nidhamu na heshima kwa wazee na wakubwa zake walikuwa katika jamii wakimteua au kumtuma kufanya kitu au jambo tena kwa faida na maslahi ya jamii,itakuwa vema kijana huyo akatae? au asikubali kutumwa huko?

Baada ya kujiuliza mashwali hayo na mengineyo nimepata jibu ambalo:
 
         NAKUBALI WITO WENU NA USHAWISHI WENU
Kuwa nitachukua fomu ya kuomba kugombea Ubunge 2015 jimbo la Moshi Mjini.

Mmenishawishi nami nashawishika na kuthubutu kuchukua fomu ya kugombea ubunge,kwa kuwa siwezi kuwa mvunjifu au mtovu wa adabu
kukataa wito na ushawishi wenu ambao
wazee wangu,vijana wenzangu,mama na baba zangu wa Moshi mjini
mmeniteua kwa kunishawishi niweze kuja kuwa mtumishi wenu mbunge.

Kwa kuwa mmenizaa,mmenilea ,mmenisomesha mpaka elimu ya juu
na mmenishawishi kwa kuwa mnaniamini mimi ni mmoja wenu katika
maisha ya kila siku katika jamii yetu Moshi,yanafahamu wazi mahitaji yetu,kero zetu na kipi jamii yetu haitaki na kipi? Jamii yetu inataka hapa jimboni Moshi Mjini,Marekebisho gani ?yanatakiwa hapa Moshi mjini
ili palete tumaini jema na maana kamili wa wakazi wote jimboni hapa
Nayafahamu yote.
Nanyi mmemshawishi Kijana Daudi Babu Mrindoko,mtoto wenu
 kwa hakika mmetuma mtumishi anayeguswa na yanayowagusa,
anayekerwa na yale mnayokelwa ! anafurahishwa na yale mnayofurahia
Kwa ni mwenzenu katika jamii jimboni Moshi mjini.
Nawashukuruni sana na Asante sana kwa Kunishawishi,Nimeshawishika
Nangojea wakati ukifika nami nifuate taratibu zote za kuchukua fomu kupitia
Chama tawala"

"NAKUBALI NITACHUKUA FOMU 2015,KWA NIA YA USHIRIKIANO WETU TULETE MABADILIKO MOSHI MJINI YENYE MASLAHI KWA WOTE"
                
                       Mungu Ibariki Tanzania

Usikose kujiunga nae at www.facebook.com/mrindoko.mwidadi

Wednesday, April 22, 2015

Truth

True..but my favourite song is in Spanish and i have no idea what the song means, but i know a few words ;p
My favourite song is 'si tu no estas aqui' by Sin Bandera.


No quiero estar sin ti

Si tú no estás aquí me sobra el aire

No quiero estar así

Si tú no estás la gente se hace nadie

Si tú no estás aquí no sé

Que diablos hago amándote

Si tú no estás aquí sabrás

Que Dios no va a entender por qué te vas

No quiero estar sin ti

Si tú no estás aquí me falta el sueño

No quiero andar así

Latiendo un corazón de amor sin dueño

Si tú no estás aquí no sé

Que diablos hago amándote

Si tú no estás aquí sabrás

Que Dios no va a entender por qué te vas

Derramaré mis sueños si algún día no te tengo

Lo más grande se hará lo más pequeño

Pasearé en un cielo sin estrellas esta vez

Tratando de entender quién hizo un infierno el paraíso

No te vayas nunca porque

No puedo estar sin ti

Si tú no estás aquí me quema el aire

Si tú no estás aquí sabrás

Que Dios no va a entender por qué te vas

Si tú no estás aquí

Não quero estar sem você

Se você não está aqui me sobra o ar

Não quero estar sem você

Se você não está aqui as pessoas se tornam nada

Se você não está aqui não sei

que diabos faço te amando

Se você não está aqui saberá

que Deus não vai entender porque você se vai

Não quero estar sem você

Se você não está aqui me falta o sono

Não quero andar assim

Batendo um coração de amor sem dono

Se você não está aqui não sei

que diabos faço te amando

Se você não está aqui saberá

Que Deus não vai entender por que você se vai

Derramarei meus sonhos se algum dia não te tiver

O maior se fará o menor

Passearei em um céu sem estrelas desta vez

tratando de entender quem fez um inferno do paraíso

Não se vá nunca porque

Não posso estar sem você

Se você não está aqui me queima o ar

Se tu não está aqui saberá

Que Deus não vai entender por que você se vai

Se você não está aqui

Composição: Rosana Toledo

Saturday, April 18, 2015

GRILLED CHICKEN by Chef George Lulabuka

             ™Slow Grilled Chicken

Two (2) WHOLE Chicken are Grilled as well as Smoked Low & Slow. Served with Succulent Potatoes and a Creamy Gravy.

Tshs 35,000 (ONLY ONCE A WEEK)

NOTE: This item is ORDERED only and it is NOT sold at Woodmont & T-Bonaz Grill

Contact George 0718 609944.

SLOW GRILLED DUCK by Chef George Lulabuka

                 ™Slow Grilled Duck™

This WHOLE duck is Grilled as well as Smoked Low & Slow. Served with Creamy Potatoes and a Smokey Gravy.

Tshs 35,000 (ONLY ONCE A WEEK)

NOTE: This item is ORDERED only and it is NOT sold at Woodmont & T-Bonaz Grill

Contact Chef George Lulabuka at 0718 609944

Friday, April 17, 2015

Solar Power Bank Chargers

Ujumbe Kwa Dereva Wote

Hey y'all,

Kutokana na ajali nyingi za barabarani zinazotokea, nimesoma hii msg kwenye whatsapp group chat na nimeamua ku-share na ninyi. Someni kwa makini na mfuate ushauri ulioandikwa hapo chini.

Source : unkown.

Hasa kwa wale wanaonunua magari kwa mara ya kwanza, na hawana uzoefu wa kuendesha gari, na pia wale wote ambao wanaweza wakawa wana uzoefu wa kuendesha gari mijini, lakini hawana uzoefu wa kuendesha gari kwenye bara bara kuu za kwenda mikoani.

Lakini ni vema kila mtu aliye dereva akasoma ninachoeleza hapa. Inaweza kuokoa maisha yako ya familia yako, na wengine wanaoendesha magari au kuwa abiria.

Ndugu zangu, ukiweza kuendasha gari hapa Dar, au hata mikoani mijini, haina maana utaweza kuendesha gari pasipo tatizo kwenye barabara kuu. Nimeshuhudia watu wengi sana waliokufa kwa sababu baada ya kununua gari walikuwa na mchecheto wa ku-drive kwenda kwao kijijini.

Kuendesha gari kwenye barabara kuu ni tofauti sana na kuendesha gari mijini. Kwenye barabara kuu challenge zake ni kubwa sana kwa sababu gari zinaenda kwa kasi, na pia kuna mambo mengi ya ghafla yanayoweza kujitokeza ambayo kama huna uamuzi wa haraka kama dereva utakufa tu kabla ya kufika mwisho wa safari yako. Ukifanya kosa hata dogo barabara kuu unaweza kufa, tofauti na mijini.

Kwa mfano, ku-overtake katika barabara kuu ni jambo linatakiwa lifanywe kwa makini sana. Na pia kila unapoingia kona kali au blind spot kwenye barabara kuu weka akilini kwamba unaweza kukutana na kitu upande wako, basi linaloenda kasi, lori au trekta liloharibika, mifugo, shimo kubwa, mawe yaliyoporomoka, ajali nk. Pia unaweza kukutana ghafla na dereva mzembe anae-overtake kwenye kona na yuko upande wako.

Usithubutu ku-overtake sehemu ambayo huoni mbali mbele, na usikaribie sana gari unayotaka ku-overtake kabla ya kui-overtake. Na unapo-overtake kama una gari manual gear, rudi gia za chini kwanza ili kujenga spidi ya ku-overtake. Kama una gari automatiki, ikibidi itoe gari kwenye overdrive (unabonyeza kiswitch cha Overdrive na kuna kataa katawaka kwenye dashboard kuonyesha Overdrive iko off), hasa kama ulilkuwa umepunguza mwendo. Mara nyingine toa gia kwenye "D" na rudi kwenye "2" ili kujenga spidi ya ku-overtake, na ukishamaliza rudi kwenye D na Overdrive. Hili ni muhimu sana kwa gari za ambazo ukikanyaga accerator gari inakawia kuchanganya. Overtake kwa haraka, sehemu ambayo iko salama, na ni vizuri gari unayoi-overtake dereva wake ajue unamu-overtake. Unaweza kumpigia honi kidogo ya kuibia kama kuomba - usipige kwa nguvu ukamuudhi. Epuka kuovertake sehemu ya barabara yenye mashimo, maana dereva wa mbele anaweza kurudi upande wako ili akwepe shimo wakati tayari unamu-overtake.

Siri moja ya ku-overtake salama ni uvumilivu - overtake nzuri haitaki haraka.

Na pia kosa linaloua watu wengi sana ni ku-overtake kwa kukisia kwamba hakutakuwa na gari inayokuja upande wa pili zile sehemu ambazo huoni vizuri mbele. Hata kama barabara haina magari mengi usithubutu kukisia kwamba hakutakuwa na gari (gambling overtake).

Na pia katika barabara kuu kuna suala la uchovu - fatigue. Hili ni jambo jingine linaua sana watu wasio na uzoefu wa kuwa katika barabara kuu. Ni mbaya hata zaidi ikiwa utakaposimama mahali kwa chakula ukanywa bia - hata moja tu, kwa sababu itakuletea sana usingizi. Epuka kula vyakula vizito kama ugali na maharage, au kula hadi ukashiba sana! Ukisikia usingizi simama upumpzike, toka ndani ya gari, tembea kidogo, kabla ya kuendelea na safari. Kama ikibidi tumia Redbull (sio zaidi ya mbili).

Na jambo jingine muhimu sana la kukumbuka ni kwamba ukiingia barabara kuu, ukaendesha kwa muda fulani, akili yako inazoea spidi kali kiasi kwamba huoni tena kama unaenda spidi kali. Unaweza ukawa unaenda 140km/h ukaona kama unaenda 80km/hr. Hili huwa mara nyingi linasababisha kuacha njia na kupinduka, au kuingia kona ukiwa na spidi kubwa na gari kupinduka. Nadhani umesikia sana ajali zinazosemwa zilitokea kwa sababu dereva alishindwa kumiliki gari - ni kwa sababu akilini dereva aliona haendi spidi.

Na pia jambo jingine muhimu sana kukumbuka ni kwamba, unapoenda safari yoyote ya mbali ambayo utaendesha gari mfululizo kwa zaidi ya masaa manne, au kwa spidi zaidi ya 100km/hr, hakikisha tairi zako hazina umri zaidi ya miaka mitano, la sivyo utapata basti hata kama tairi inaonekana bado mpya kwa
kuitazama. Tairi ikizidi miaka mitano haifai kusafiria safari ya mbali, japo unaweza ukaendelea kuitumia kwa safari za mijini.

Nimeona niseme haya kwa sababu nawapenda ndugu zangu. Sitaki mufe barabarani, au mniue mie na familia yangu. Wapeni taarifa wengine ili tuzidi kuepuka vifo hivi vya barabarani ambavyo vingi vinazuilika.

Neno langu la mwisho, ili uendeleee kuwa salama barabarani ni kwa lugha ya kiingereza; BE PATIENT kwa lolote unalotaka kufanya ukiwa unaendesha gari. Zingaitia hilo, utakuwa salama.

Used vs. Loved

USED  vs. LOVED

While a man was polishing his new car, his 6 yr old son picked up a stone and scratched lines on the side of the car. In anger, the man took the child's hand and hit it many times; not realizing he was using a wrench. At the hospital, the child lost all his fingers due to multiple fractures. When the child saw his father.....with painful eyes he asked, 'Dad when will my fingers grow back?' The man was so hurt and speechless; he went back to his car and kicked it a lot of times. Devastated by his own actions.......sitting in front of that car he looked at the scratches; the child had written 'LOVE YOU DAD'.The next day that man committed suicide. . .Anger and Love have no limits; choose the latter to have a beautiful, lovely life..... Things are to be used and people are to be loved. But the problem in today's world is that, People are used and things are loved.... In this year, let's be careful to keep this thought in mind: Things are to be used, but People are to be loved. Watch your thoughts; they become words. Watch your words; they become actions. Watch your actions; they become habits. Watch your habits they become character;Watch your character; it becomes your destiny. I'm glad a friend forwarded this to me as a reminder. God bless you. If you don't pass this on nothing bad will happen; but if you do, you might change someone's life. Do u know the relationship between your two eyes? They blink together, move together, cry together, see things together & sleep together. Even though they never see each other. Friendship should be just like that! Life is vanity without FRIENDS.

Tuesday, April 7, 2015

Beware Of Terror Attacks

Dear All,

There are various messages going on the social media with regards to terror alert. SURAKSHA TEAM had also issued a similar statement prior to the massacre in Kenya.

It is very important to be cautious as such groups have penetrated in various areas.

Its not only the police or security forces have to do all the work but its a responsibility of everyone to alert and report any suspicious activities.

For easy reporting; the points below are vital.

WHAT TO LOOK OUT FOR

A. SUSPICIOUS PERSON WHO

- Are in unauthorized areas or appear lost.
- Dress inappropriate or overdressed for a given weather condition.
- Loitering or observing activities on facilities without authority.
- Wander around or outside a facility at a strategic area.
- Avoid eye contact, nervous and appear to be in hurry.
- Photography, take video or draw diagrams or map of restricted facilities.
- Attempt to gain unauthorized access facilities.
- Disguise as selling merchandise.

B. SUSPICIOUS VEHICLE

The public needs to be cautious and report

- Vehicle parked in unauthorized locations.
- Out of place vans, trucks,  motorcycles, bicycles and cars
- Vehicles unattended for prolonged duration.
- Vehicles riding (looks overly heavy in either the front or the rear)
- Newly painted and/or emitting odour.
- Missing, improper or mismatched number plates.

C. SUSPICIOUS ITEMS
Unknown, unattended, out of place or unexpected deliveries like packages, backpacks, bags, boxes,  etc. Left;

- On or next to a seat in a vehicle.
- in a waiting area or washroom
- Roadsides
- Lecture halls
- Dining halls
- Places of worship
- Shopping malls, Restaurant,  Hotels, Hospital etc

PUBLIC RESPONSIBILITY

- Never attempt to distribute or move a suspicious object.
- Never attempt to handle a situation which you are not conversant with
- Leave the place immediately and report
- Incase of explosion,  Keen off the scene

WHEN REPORTING TAKE NOTE OF THE DETAILS:-

- Who and what you observed
- Location
- Time of occurrence
- Why it is suspicious

If there are concerns that anyone is involved in terrorism or planning to commit terrorism act please contact the nearest police station, security officials in your area etc.

SURAKSHA TEAM will continue to issue alerts and development through TANZANIA INCIDENTS whatsapp group.

GOD BLESS ALL, GOD BLESS TANZANIA.

TI / SRKSA / 321/ 2015

Sunday, April 5, 2015

LoL

Golden Words By A Wise Man

1. "If you want to change the world, do it when you are a bachelor. After marriage, you can't even change a TV channel"

2. "Listening to wife is like reading the terms and conditions of website. You understand Nothing, still you agreed..."

3. "Chess is the only game in the world, which reflects the status of the husband. The poor King can take only one step at a time...While the mighty Queen can do whatever she likes."

4. "All men are brave. Horror movies don't scare them...But 5 missed calls from wife...surely..."

CeeLo Green - Mary Did You Know

Because Of Christ: EASTER MESSAGE!

Thursday, April 2, 2015

LOL

SIFA ZA MKE NA MUME

SIFA ZA MWANAMKE (SIFA NJEMA)

1. Awe mwema 
2. Mwenye hekima
3. Mwenye adabu
4. Mwenye busara
5. Awe mkarimu
6. Msafi (mwili na nyumba)
7. Mpole
8. Mwenye huruma
9. Mdadisi
10. Mvumilivu
11. Mcheshi (kiasi)Yampasa mke aanze siku kwa kauli nzuri hata kama anaumwa:-- Amsalimie mume

- Amwage mumewe akimtakia kazi njema baada ya kumuandalia
(a) Maji ya kuoga
(b) Kifungua kinywa
(c) Nguo za kuvaa siku hiyo

Mume atokapo kazini:-
(a) Mkaribishe kwa tabasamu, mkaribishe kwa furaha.
(b) Mpigipige mgongoni
(c) Vaa nguo nzuri (mwanaume hupenda anachoona) macho huvutiwa kwa kuona
(d) Waeleze watoto wako unavyompenda baba yao ( watoto nao watawapenda wote)
(e) Kila mmoja wenu ajue kile anachopenda ua anachotaka

ILI KUMHESHIMU MUME
1. Muombee kila siku - Yeye alivyo hekima, busara, ulinzi, baraka, ujuzi, uelewa, kiroho, mafanikio, kushinda majaribu nk - angalia na tarajia majibu ya maombi - Mshukuru Mungu kwa kazi anayofanya kwa familia yako - Mshukuru Mungu kwa ajili ya Mume wako- ombea mtazamo wako.
2. Kumbuka Mungu amemuweka mume wako kuwa kiongozi wa nyumba yako pamoja na wewe.
3. Angalia sifa za mumeo na uzikubali na ongeza mara kwa mara
4. Mwambie mumeo ni namna gani unamfurahia na kumpenda
5. Usitoe sifa zake mbaya mbele za watu au kubisha
6. Mtie moyo na kuwa msaaada wakati wa jambo gumuJihadhari na jinsi unavyomuuliza maswali
7. Changamkia pale anapoonesha upendo
8. Fikiria mambo mazuri juu ya mumeo
9. Thamini vitu anavyovipenda na asivyovipenda Mith 12:4

KAWAIDA MWANAMKE

1. Usitegemee starehe nyingi kama zile ulizokuwa unapata kwa wazazi wako au ndugu zako
2. Utakuwa na juhudi katika kujenga nyumba ya mume wako uliye naye.
3. Hutakuwa mgomvi na mchokozi wala kumpiga mumeo kwa mwiko
4. Utampa mume wako haki yake
5. Thamani ya mumeo ni zaidi ya wanaume wote. 
6. Umtii mumeo kwa Roho ya upole na unyenyekevu
7. Usimuruhusu mtu yeyote atambue kwamba unao wakati mgumu ( siri za ndani zisitoke nje) 
8. Utahaakikisha macho yako yanamwangalia mumeo wakati amevaa kabla ya kutoka kwenda kazini au kutembea
9. Utajitoa na kumtii mumeo kwa moyo wote na kumruhusu kuwa kichwa cha nyumba
10. Utahakikisha mumeo ni bora kuliko watu wengine
11. Mwanaume ni dereva wa gari la ndoa na mwanamke anaweza akashauri na kupednekeza njia ya kupita na siyo kunyang'anya usukani 

SIFA ZA MWANAUME
1. Mpole
2. Asiwe mwepesi wa hasira
3. Mcheshi
4. Anayeshaurika
5. Anayewajali watu wa nyumbani mwake (mahitaji)
6. Aliye na shukurani na kusifu (kwa lolote jema alilolitenda mkewe)
7. Anayeaga aondokapo kwenda matembezini au kazini au popote.

10. WAJIBU WA WA MUME KWA MKEWE

1. KUPENDA - matatizo mengi hutokea kwa sababu watu hawajui maana na jinsi ya kupenda kupenda ni matendo (action) siyo kujisikia au kuhisi ni kufanya vitu vizuri kama vile kutoa, kutabasamu, kusamehe

KIONGOZI (KICHWA) MTAWALA
- Mume ni kichwa cha mke

MLINZI WA MKEWE
- Mke hujiona salama awapo na mumewe. Hivyo mume mlinde mkeo na maadui wa ndani na nje kama vile baba na mama, mashemeji/mawifi na marafik

4. KUTUNZA FAMILIA.
Kuhakiki familia inapata chakula cha kutosha, malazi, mavazi na elimu kwa watoto 

KUMPAMBA MKEWE - mume sharti ampambe mkewe apendeze ili aweze kuvutia (amununulie vipodozi, nguo nk)

KAWAIDA MWANAUME:
1. Utamheshimu mke wako kama mrithi 
2. Mke wako ni mtu wa kwanza kwako siyo ndugu zako wala rafiki zako 
4. Mara kwa mara utamwambia mke wako alivyo wa muhimu na thamani kwako 
5. Utaendelea kumpenda kwa upendo ule wa kwanza wa wakati unampata. 
6. Utakuwa kiongozi wa kusimamia nidhamu ya nyumba yako ukisaidiwa na mke wako.
7. Utakumbuka kutekeleza au kutimiza vile vitu vidogo ambavyo ulimwahidi mke wako kwamba utafanya 
8. Macho yako yataelekea kwa mke wako tu na sivinginevyo.
9. Utafanya juhudi kusikiliza yale yaliyosemwa na mke wako. 
10. Utambusu kila siku asubuhi kwa upendo.
11. Hutakuwa mchungu likija swala la fedha.

12. WAJIBU WA MKE KWA MUMEWE KUTII
- Kutii kunakosemwa hapa ni kuwa endapo wawili mume na mke mmeshindwa kufikia uamuzi wa pamoja, basi,basi mke atatii uamuzi wa mumewe kama vile wamekubaliana awali

KULEA WATOTO (FAMILIA)
(a) Kuhakikisha afya ya mumeo na watoto
(b) Kuhakikisha kuwa chakula kinaliwa kwa wakati na kizuri
(c) Kuhakikisha usafi wa malazi, mavazi na miili yao
(d) Kufundisha watoto maneno ya Mungu
(e) Kuchunguza nyendo na tabia za watoto na mumeo na kuchukua tahadhari mapema.

KUMSHAURI MUMEO
Mke mwenye busara ni mshauri mwema kwa mumewe. Hatatoa ushauri wa kuleta maangamizi. Ushauri unafaa lakini ushauri mwingine upimwe kabla ya kufanyia kazi. 

13. ADUI WA NDOA NI:-
UTAJIRI - Tajiri hupendwa na wasichana na pia huwa na tamaa ya kutafuta fedha kiasi cha kukosa muda na mkewe

UMASKINI - kazi ya kutafuta lishe ni ya baba, hivyo hushughulika sana na kujikuta amekuwa baba zaidi kuliko kuwa mume

MADARAKA - madaraka ya ofisini huyaleta hadi nyumbanini chukuzo kwa mume/mke. Maafisa hawana muda na wake zao kwa sababu ya makongamano/semina/ziara mbalimbali.- Hivyo wake zao wengi hutumia madereva kukidhi haja zao za kimwili- Mke ambaye ni ofisa humwachia house girl kazi za kupika, kufagia chumbani, kupeleka maji bafuni na hata kutandika kitanda, hivyo kusababisha mke kupinduliwa na house girl.

MAMBO YANAYOWAKERA WAKE

1. Wababa wenye madaraka kuyapeleka madaraka nyumbani
2. Wake kuwajibika na mambo ya nyumbani kwa vile wana mishahara minono
3. Wababa kutotenga muda wa kutosha kukaa na wake zao ili kuongea yanayowahusu
4. Mume kumwachia mke kulea watoto hasa wakati wa usiku
5. Mume kutomtia moyo mke wakati wa ujauzito
6. Mume kumchanganya mama na watoto wa kike wanapokosa
7. Mume kutokuwa na maandalizi mazuri wakati wa kukutana kimwili na mkeo
8. Mume kujijari mwenyeweMume kusaidia ndugu zake bila mke wake kujua
9. Mume kubagua watoto
10. Mume kuwa na upendo na ukaribu au kucheka na binti waishio nao huku yupo mke wake
11. Mume kutomshirikisha mkewe katika huduma yake ya ili aweze kumwombeaKutoonesha shukrani wala kutokuwa na msamaha
12. Mume kutomtazama mkeo usoni mkiwa chumbani..