Wednesday, January 16, 2013

Mstaiki meya wa jiji la Mwanza Mhe.Stanslaus Mabula ametembelea halmashauri ya manispaa ya Ilala




Mstaiki meya wa jiji la Mwanza Mhe.Stanslaus Mabula na ujumbe wa kamati yake ya fedha wametembelea halmashauri ya manispaa ya Ilala kwa maagizo ya Mhe.Waziri Mkuu kuja kujionea mbinu za kisasa za kukusanya mapato.

Mstaiki Meya wa Halmashauri ya manispaa ya Ilala Mhe Jerry Silaa amewakaribisha na kuwaeleza jinsi walivyoweza na wanavyoendelea kukusanya mapato.

Jiji la Mwanza na Manispaa ya Ilala zinaanzisha Udada.

No comments:

Post a Comment